Tangu Parokia ianzishwe miaka 89 iliyopita kuna wakatoliki zaidi ya 30,000 ndanimo wakiwemo watawa wa kike 34, watawa wa kiume 7, Mapadre Philipo Mihafu (Marehemu), Beatus Mhaluka, Askofu Paskali Kikoti – Mpanda (sasa Marehemu), Cyprian Mvanda IMC na Isaya Tovagonze na Fr. Simon Luhwago.
Br. David Nyamba – SCIM.
.
Mtumikieni Bwana kwa furaha; Njooni mbele zake kwa kuimba. Zaburi 100:2.