Tafakari Dominika ya 16 ya Mwaka B wa Kanisa: Umuhimu wa Likizo: Sala, Neno na Matendo ya Huruma
|

Tafakari Dominika ya 16 ya Mwaka B wa Kanisa: Umuhimu wa Likizo: Sala, Neno na Matendo ya Huruma

Likizo ni nafasi muafaka ya kujenga na kudumisha mahusiano na mafungamano ya dhati na Mwenyezi Mungu, kwa kusoma na kutafakari Maandiko Matakatifu, lakini zaidi kwa kuongozwa na Amri Kumi za Mungu kama dira na mwongozo wa maisha. Ni nafasi ya kutafakari kuhusu Fumbo la maisha ya binadamu, ili kubainisha ikiwa kama maisha yana alama na…

Tafakari Dominika 15 ya Mwaka B wa Kanisa: Toba, Faraja Na Wongofu wa Ndani
|

Tafakari Dominika 15 ya Mwaka B wa Kanisa: Toba, Faraja Na Wongofu wa Ndani

Mama Kanisa katika masomo ya dominika hii anatukumbusha kuwa kwa Sakramenti ya Ubatizo na kipaimara sisi sote tumeitwa kuihuburi Injili kwa kuishi ukristo wetu vyema sio kwa sheria za maumbile bali kwa kuwa viumbe vipya ndani ya Kristo na kuona fahari juu ya Msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo ambao kwao tumekombolewa. Hii ni changamoto…

Ujumbe wa Papa Francisko Kwa Siku ya 61 ya Kuombea Miito: Matumaini na Amani
|

Ujumbe wa Papa Francisko Kwa Siku ya 61 ya Kuombea Miito: Matumaini na Amani

Na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, – Dar Es Salaaam Ujumbe wa Baba Mtakatifu Francisko katika Maadhimisho ya Siku ya 61 ya Kuombea Miito Mitakatifu ndani ya Kanisa unanogeshwa na kauli mbiu: “Tunaitwa kupanda mbegu za matumaini na kujenga amani.” Baba Mtakatifu anafafanua kuhusu watu walioko safarini mintarafu ujenzi wa Kanisa la Kisinodi unaosimikwa katika…

Sherehe ya Bikira Maria Kupashwa Habari ya Kuwa Mama wa Mungu
|

Sherehe ya Bikira Maria Kupashwa Habari ya Kuwa Mama wa Mungu

Sherehe ya Bikira Maria Kupashwa Habari kuwa atakuwa ni Mama wa Mungu kwa mwaka 2024 inaadhimishwa Jumatatu tarehe 8 Aprili 2024, baada ya tarehe 25 Machi 2024 kuangukia kwenye Juma Kuu. Tarehe 8 Aprili 2024 Mama Kanisa sehemu mbalimbali za dunia anaadhimisha Siku ya Kutetea Uhai na Utakatifu wa Maisha tangu pale mtoto anapotungwa mimba…

Tafakari Dominika ya Huruma ya Mungu: Amani Ni Zawadi ya Kristo Yesu Mfufuka
|

Tafakari Dominika ya Huruma ya Mungu: Amani Ni Zawadi ya Kristo Yesu Mfufuka

Baba Mtakatifu Francisko anasema, huruma ndiyo msingi thabiti wa uhai wa Kanisa. Kazi zake zote za kichungaji zinapaswa kufungamanishwa katika upole linalouonesha kwa waamini; hakuna chochote katika mahubiri na ushuhuda wake kwa ulimwengu kinachoweza kukosa huruma. Umahiri wa Kanisa unaonekana kwa namna linavyoonesha huruma na upendo. Huruma ya Mungu inafungua malango ya moyo ili kuonesha…

PALIPO CHUKI LETA AMANI
|

Jubilei ya Miaka 800 ya Madonda Matakatifu ya Mt. Francisko wa Assisi

Baba Mtakatifu Francisko Ijumaa tarehe 5 Aprili 2024 amekutana na kuzungumza na Jumuiya ya Ndugu Wadogo wa La Verna na wale wanaotoka Kanda ya Toscana, kama sehemu ya kumbukizi ya miaka mia nane tangu Mtakatifu Francisko wa Assisi alipobahatika kupewa Madonda Mtakatifu mwilini mwake. Hii ilikuwa ni tarehe 15 Septemba 1224, yaani miaka miwili kabla…

Ufufuko wa Yesu ni Kilele cha Ukweli wa Imani Katika Kristo Yesu
|

Ufufuko wa Yesu ni Kilele cha Ukweli wa Imani Katika Kristo Yesu

Ufufuko wa Kristo Yesu ni kilele cha ukweli wa imani ya Kikristo, ambayo jamii ya kwanza ya wakristo iliusadiki na kuuishi kama kiini cha ukweli.  (SumbawangaMedia) Na. Padre Joseph Herman Luwela-Kutoka Vatican Rome Ufufuko wa Kristo Yesu ni kilele cha ukweli wa imani ya Kikristo, ambayo jamii ya kwanza ya wakristo iliusadiki na kuuishi kama…

Tafakari Dominika ya Tatu Kwaresima Mwaka B: Nyumba ya Sala na Sadaka! 2024

Na Padre Joseph Herman Luwela, – Vatican. Nyumba ya Baba yangu ni nyumba ya sala, toba na wongofu wa ndani na sio genge la biashara huria!  Leo Kanisa linaadhimisha Dominika ya 3 ya Kipindi cha Kwaresima Mwaka B wa Kanisa. Himizo kubwa katika kipindi hiki cha Kwaresima ni toba na wongofu wa moyo na muunganiko…

Jumatano ya Majivu: Katekesi Kuhusu Kipindi cha Kwaresima.

Kipindi cha Kwaresima ni fursa ya kuamsha na kupyaisha ari na mwamko wa kimisionari, tayari kujisadaka bila ya kujibakiza kwa ajili ya kutangaza na kushuhudia Habari Njema ya Wokovu hadi miisho ya dunia. Baba Mtakatifu Francisko anawaalika waamini kuwakumbuka na kuwaombea wainjilishaji wote, ili waweze kuwa ni vyombo na mashuhuda wa kile wanacho amini, kufundisha…

KILA TAREHE 11.FEBRUARI KILA MWAKA NI SIKU YA WAGONJWA DUNIANI

Dominika ya Sita Ya Mwaka B wa Kanisa: Siku ya 32 ya Wagonjwa Ulimwenguni 2024 Maadhimisho ya Siku ya 32 ya Wagonjwa Ulimwenguni yananogeshwa na kauli mbiu “Si vizuri kwamba mwanadamu awe peke yake. Uponyaji wa wagonjwa katika kuponya mahusiano.” Baba Mtakatifu anaangalia vita kama gonjwa kubwa na la kutisha, uzee na upweke. Kumbe, kuna…