Ijumaa Kuu: Utukufu wa Kristo Yesu Umetundikwa Msalabani

Ijumaa Kuu: Utukufu wa Kristo Yesu Umetundikwa Msalabani

Ni kielelezo cha Mti wa Ushindi wa Kristo dhidi ya dhambi na mauti, ndiyo maana, waamini wanapata fursa ya kuweza kuabudu Msalaba wa Kristo Yesu. Na Padre-Joseph Herman Luwela-Vatican-2024 Ijumaa kuu Mama Kanisa anaadhimisha Mateso na Kifo cha Yesu, Mtumishi mwaminifu wa Mungu aliyetabiriwa na Manabii katika Agano la Kale. Ni Mwana Kondoo wa Mungu…

Tafakari Dominika ya IV Kwaresima Mwaka B: Yesu Ni Nuru ya Uzima 2024-10-March

Tafakari Dominika ya IV Kwaresima Mwaka B: Yesu Ni Nuru ya Uzima 2024-10-March

Na Padre Joseph Herman Luwela, – Vatican.Roma-Italia Leo ni Dominika ya 4 ya Kipindi cha Kwaresima mwaka B. Katika Somo la Kwanza na Injili tutasikia Mungu akiwaonesha watu njia zake kwa namna mbalimbali. Lakini watu hao wanaonekana kutopokea kwa uwazi maelekezo hayo. Ili tuweze kumfuata Mungu aliye mwanga, ya faa tuzitambue njia zake na kuzifuata….

Waraka wa Sinodi ya XVI ya Maaskofu Kwa Watu wa Mungu

Ujenzi wa umoja na ushirika; wongofu wa kichungaji na kimisionari, ili kutangaza Injili ya Kristo inayosimikwa katika huduma; Upendo wa Kanisa unabubujika kutoka katika Ekaristi. Kanisa linahitaji ujenzi wa utamaduni wa kuwasikiliza watoto wake wote hasa wale wanaotengwa na kusukumizwa pembezoni mwa vipaumbele vya jamii; ni mwaliko wa kuwasikiliza waamini walei na familia na hivyo…

Kadinali Protase Rugambwa aweka Historia Jimbo kuu la Tabora

Kadinali Protase Rugambwa aweka Historia Jimbo kuu la Tabora

Kardinali Protase Rugambwa Anaandika Historia ya Jimbo kuu la Tabora, TanzaniaAskofu mkuu Paul Runangaza Ruzoka wa Jimbo kuu la Tabora, Tanzania anaelezea furaha ya watu wa Mungu kwa kuteuliwa na hatimaye kusimikwa kwa Kardinali Protase Rugambwa, historia ya majimbo makuu ya Dar es Salaam na Jimbo kuu la Tabora na kwamba sasa Kardinali Protase Rugambwa…