Kadinali Protase Rugambwa aweka Historia Jimbo kuu la Tabora
Kardinali Protase Rugambwa Anaandika Historia ya Jimbo kuu la Tabora, TanzaniaAskofu mkuu Paul Runangaza Ruzoka wa Jimbo kuu la Tabora, Tanzania anaelezea furaha ya watu wa Mungu kwa kuteuliwa na hatimaye kusimikwa kwa Kardinali Protase Rugambwa, historia ya majimbo makuu ya Dar es Salaam na Jimbo kuu la Tabora na kwamba sasa Kardinali Protase Rugambwa…