SHULE YA SEKONDARI LAELA JIMBO KATOLIKI SUMBAWANGA INAWATANGAZIA WAZAZI NA WALEZI NAFASI ZA MASOMO KATIKA MWAKA MPYA WA MASOMO 2024

Usaili kwa kidato cha kwanza ni tarehe 3_4 January 2024 kutakuwa na mitihani. Kwa wanaohamia mitihani ya usaili ni December 2023 wazazi wa wahi nafasi ni chache, Asante kwa USHIRIKIANO wako, Mungu azidi kukubariki daima.

Similar Posts